Pages

Wednesday, 7 February 2018

ELIMU YA UJASIRIAMALI
Ni ukweli usiopingika kwamba, kwa sasa watu wengi wametambua kuwa ujasiriamali ndiyo suruhisho pekee la ugumu wa maisha yetu ya kila siku. Hivyo ni muhimu sana kila mmoja wetu kujituma ili aweze kujipatia na kujiongezea kipato chake na cha taifa kwa ujumla, hii itasaidia sana kuendana na kasi ya Tanzania ya viwanda.

Hivyo basi Mwambo Realistic Company (MWARECO) ni wauzaji na wasambazaji wa malighafi zitumikazo kutengenezea sabuni za aina zote, dawa za usafi, mishumaa, mafuta ya mgando na lotion, maji ya betri, chaki na aina mbalimbali za mabatiki. Pamoja na haya yote pia kampuni inatoa elimu ya ujasiriamali bure katika ukurasa huu, gharama yako kubwa ni kutembelea ukurasa huu tu ili kujipatia Elimu bila malipo. Na ukihitaji kupata malighafi popote ulipo utapafikishiwa bila matatizo yoyote.

Anza kwa kufahamu haya yafuatayo



SABUNI YA MCHE
MALIGHAFI
·         Caustic soda.
Mafuta; mawese, mbosa, nyonyo, alizeti nk
·         Maji (H2O).
·         Glycerine: (husaidia mikono isikauke na kuchubuka)
·         Perfume: (lemon ni nzuri kwa kufulia)
·         Chumvi: (huifanya sabuni isiishe haraka na kuifanya iwe nzito)
·         Sodium silicate: (kuweka ubora wa sabuni na muunganiko wa malighafi).




No comments:

Post a Comment